Hebrews 2:6-8

6 aLakini kuna mahali mtu fulani ameshuhudia akisema:

“Mwanadamu ni kitu gani hata unamfikiria,
binadamu ni nani hata unamjali?
7Umemfanya chini kidogo kuliko malaika;
ukamvika taji ya utukufu na heshima,
8 bnawe umeweka vitu vyote chini ya miguu yake.”
Kwa kuweka vitu vyote chini yake, Mungu hakuacha kitu chochote ambacho hakukiweka chini ya mwanadamu. Lakini kwa sasa, hatuoni kwamba kila kitu kiko chini yake.
Copyright information for SwhNEN